Hizi Ndio Simu Bora za Android za Kununua Mwaka 2016

Kama ulikua unatafuta simu ya kununua yenye kutumia Android basi hii ni ndio list ya simu bora za kununua kwa mwaka 2016
android android

Google Pixel

https://www.youtube.com/watch?v=Rykmwn0SMWU

Google pixel ni simu bora sana kuwa nayo kwa sasa, simu hii imevunja rekodi kwa kuwa ya kwanza kabisa kuwa na teknolojia mpya ya Google Assistance kama ile iliyoko kwenye programu ya Google AlloSimu hii mbali na kuwa inatumia teknolojia ya hali ya juu sana simu hii inaonekana kukaa na chaji na kuwa na sifa nyingi ambazo pengine kila simu ya Android ingetakiwa kuwa nazo. Simu hii imetengenezwa na kampuni ya teknolojia ya Google na kama tunavyojua Google ndio yenye mfumo wa Android hivyo lazima simu hii itakuwa bora sana kwenye mfumo wake wa uendeshaji hivyo ni vizuri sana kuwa na simu hii

Advertisement

BEI TZS 1,500,000

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use