Angalia Video ya Note 7 Ikitumika Kama Bomu Kwenye Game ya GTA 5

Kama ulipitwa hii ndio video ya Note 7 ikitumika kama bomu kwenye Mod la Game ya Grand Theft Auto (GTA 5 )
GTA 5 GTA 5

Siku za usoni kumekua na mvutano kati ya mtu mwenye Youtube channel inayoitwa Modded Games na Samsung Electronics ya marekani, walichokifanya watu hao wenye channel hiyo ni kutengeneza Mod (Modification) ya Game la Grand Theft Auto 5 maarufu kama GTA 5 ambapo kwenye mod hiyo ilionekana Mtu akienda kununua silaa kwenye duka linalo uza silaa na mtu huyo allishia kununua Samsung Note 7 ambayo mtu huyo aliitumia kama bomu alipotoka nje ya duka hilo.

Hata hivyo Samsung walifanikiwa kushawishi kampuni ya Google kupitia Youtube kuondoa video hiyo pamoja na kufungua mashitaka kwa mwenye channel hiyo lakini siku chache baadae video hiyo ikarudi tena kwenye channel hiyo ikiwa na maana kuwa mtu huyo mwenye channel hiyo alishinda katika madai hayo yaliyofunguliwa na Kampuni ya Samsung ya nchini marekani.

Advertisement

Nini maoni yako kwa Samsung kuhusu hii ishu..? unaweza kuandika maoni yako hapo chini au unaweza kujiunga na majadiliano kwenye mitandao yetu ya kijamii ya  Facebook, Twitter na Instagram pamoja na Youtube kama unataka kujifunza mambo mbalimbali ya teknolojia kwa njia ya Video. Pia kama unataka kupata habari zote za teknolojia kwa haraka unaweza kudownload sasa App yetu ya Tanzania tech kutoka Play Store na hivi karibuni itapatikana kupitia App Store.

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use