Kampuni ya Alcatel Yatoa Tablet Yake Mpya ya Pop 7 LTE

Kampuni ya Alcatel Yatoa Tablet Yake Mpya ya Pop 7 LTE Kampuni ya Alcatel Yatoa Tablet Yake Mpya ya Pop 7 LTE

Hivi karibuni kampuni ya Alcatel ilitangaza kutoa tablet yake mpya iliyopewa jina jipya la Pop 7 Lte, tablet hiyo yenye inch 7 ina kioo cha pixel 1024 x 600 pia tablet hiyo mpya ya alcatel ina processor ya 1.1GHz Snapdragon quad-core, RAM ya 1GB, 8GB memory ya ndani na sehemu ya kuweka memory card.

Simu hiyo iliyotoka kwa toleo la T Mobile itakuwa ikiuzwa kwa dollar za kimarekani kati ya USD $129.99 na $132 ambayo ni sawa na shilingi za kitanzania TSH 2,86078.00 pia tablet hiyo inakuja na toleo jipya la Android ambalo limetoka hivi karibuni.

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use