Follow

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use
English

Simu Bora ya Tecno Camon 30 Yaongoza Mauzo Mwezi Julai

Teknolojia mpya ya AI ya (AIGC) yafanya Simu hii Kupendwa Zaidi
Simu Bora ya Tecno Camon 30 Yaongoza Mauzo Mwezi Julai Simu Bora ya Tecno Camon 30 Yaongoza Mauzo Mwezi Julai

Katika ulimwengu unaobadilika wa simu za mkononi, hasa nchini Tanzania, utafiti uliofanywa na wauzaji wa simu umeonyesha kwamba TECNO CAMON 30 imekuwa simu inayouzwa zaidi, ikipita brand zingine zote na kuashiria uamsho mkubwa kwa brand ya TECNO baada ya kipindi cha kushuka kwa mauzo yake.

Vipengele muhimu vinavyochangia mafanikio ya CAMON 30 ni pamoja na mfumo wa kamera wa kisasa ulio na sensa ya SONY.

Advertisement

Simu Bora ya Tecno Camon 30 Yaongoza Mauzo Mwezi Julai

Pamoja na mfumo huo wa kamera pia kipengele cha AIGC yenye uwezo wa kubadili taswira au picha yako katika mtazamo mwingine (Nasi tumefanya majaribio kwa kupiga picha sura za watu maarufu nchini kupitia camera ya CAMON 30 AIGC na zikatuletea taswira hizi za AI).

Zaidi ya yote kuwepo kwa earbuds zenye uwezo mzuri wa bass zikija ndani ya box la simu hio.

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use