in

Jinsi ya Kuwasha Taa kwa Umeme wa Sumaku Pamoja na Mota

Jifunze hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza umeme rahisi kwa kutumia sumaku

Jinsi ya Kuwasha Taa kwa Umeme wa Sumaku Pamoja na Mota

Ni wazi kuwa zipo njia nyingi sana unazoweza kuzitumia kuweza kutengeneza umeme ambao utakusaidia kwa matumizi mbalimbali, kwenye makala iliyopita tuliangalia jinsi ya kutengeneza umeme wa kuchaji simu kwa kutumia Malimao na leo tunaenda kuangalia jinsi ya kutengeneza umeme wa kuwasha taa kwa kutumia mota na sumaku.

Mahijitaji

Kumbuka Mota ambayo hutumika hapa sio mota ya kawaida bali hii ni DC mota, mota hizi zinapatikana na unaweza kuinunua kwenye maduka ya eletroniki hapa Tanzania. Pia unahitaji kuwa na spika pamoja na sumaku mbili zile ambazo zinazotoka kwenye mota yani zile sumaku A na B ambazo hua zimejikunja kidogo kama C. Pia unahitaji foil na unahitaji battery moja yenye chaji pamoja na Super clue ya kutosha pamoja na waya, bila kusahau mbao yenye urefu wa nusu sent mita na upana wa inch moja.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Kama unavyo vyote hivyo sasa twende tukajifunze hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza umeme wa kuwasha taa kwa kutumia mota pamoja na sumaku.

Je unaonaje maujanja haya, je ungependa kuendelea kupata maujanja kama haya kupitia hapa Tanzania Tech, Tuambie kupitia sehemu ya maoni hapo chini nasi tutafanyia kazi ushauri wako mara moja. Kwa maujanja zaidi hakikisha unaendelea kutembelea Tanzania Tech kila siku au tembelea kwenye kipengele cha Maujanja.

Jinsi ya Kuwasha Taa kwa Umeme wa Sumaku Pamoja na Mota
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Jinsi ya Kufuta kwa Haraka Majina Yaliyo Jirudia

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.

4 Comments