Simu za Huawei Zitakazo Pata Mfumo Mpya wa EMUI 9.1 1

Simu za Huawei Zitakazo Pata Mfumo Mpya wa EMUI 9.1

Kampuni ya Huawei imatangaza kuja na mfumo mpya kabisa kwenye simu zake, mfumo huo unakuja na muonekano mpya wa Icon, sehemu mpya za kuendesha simu (gesture controls) pamoja na mambo mengine mengi.

Kama wewe ni mmoja wa watu wanaotumia simu za Huawei basi ni vyema kusoma makala hii ili kujua kama simu yako ipo kwenye list hii ya simu zitakazo pokea mfumo huo mpya wa EMUI 9.1. Kumbuka mfumo huu sio toleo jipya la Android lakini kama simu yako ipo kwenye list ya simu hizi basi inawezekana kabisa kupata toleo jipya la Android kwani mfumo huu unakuja na mfumo mpya wa Android 9.0

https://www.youtube.com/watch?v=2RSxElN5byg

Simu Zenye EMUI 9.1

  • Huawei Mate 20
  • Huawei Mate 20 Pro
  • Huawei Mate 20 X
  • Huawei Mate 20 RS Porsche Design

Simu Zinazo Jaribiwa EMUI 9.1

Simu Zinazo Tarajiwa Kupata EMUI 9.1

  • Huawei Nova 4e
  • Huawei Nova 3e
  • Huawei Enjoy 9 Plus
  • Huawei Enjoy 8 Plus
  • Huawei Enjoy MAX
  • Huawei Enjoy 9S
  • Huawei Enjoy 7S
  • Huawei Enjoy 9e
  • Honor 9 Lite
  • Honor 8X Max
  • Honor 20i
  • Honor 9i
  • Honor 7X
  • Huawei MediaPad M5 Tablet 10.1
  • Huawei MediaPad M5 Tablet 8.0
  • Huawei MediaPad M5 Tablet 8.4
  • Huawei MediaPad M5 Pro Tablet 10.8
  • Huawei MediaPad Tablet 5T 10.1

Updating…

List hii bado inaendelea hivyo hakikisha unaendelea kutembelea Tanzania Tech kwani tutakuwekea simu nyingine ambazo zitatangazwa baadae ambazo zinategemea kupa mfumo huu mpya wa Huawei. Kwa habari zaidi za teknolojia endelea kutembelea Tanzania Tech.

Previous Post
Hatimaye BlackBerry Kusitisha Huduma za BBM Mwezi May 31 2
Hatimaye BlackBerry Kusitisha Huduma za BBM Mwezi May 31
Next Post
Jinsi ya Kuwasha Taa kwa Umeme wa Sumaku Pamoja na Mota 3

Jinsi ya Kuwasha Taa kwa Umeme wa Sumaku Pamoja na Mota