in

Mubashara Mark Zuckerberg Akihojiwa na Wabunge wa Ulaya

Angalia Mark Zuckerberg Akihojiwa na Wabunge wa Ulaya

mark-zuckerberg akihojiwa

Kama ripoti za awali zilivyo sema leo Mark Zuckerberg kwa mara ya pili leo anahojiwa na wabunge wa ulaya kuhusu usalama wa data za watumiaji wa Facebook wa nchini ulaya. Angalia hapa mubashara wakati Mark Zuckerberg akihojiwa na wabunge hao. Mahojiano haya yanafanyika mubashara akiwemo raisi wa bunge la ulaya.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
Mubashara Mark Zuckerberg Akihojiwa na Wabunge wa Ulaya
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Elon Musk Azindua Mfumo wa Akili Bandia (AI) xAI Grok

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.