in

Facebook Yaja na App ya Facebook Messenger Kwaajili ya Watoto

Sasa watoto wataweza kuchati kwa uhuru kwa ruhusa ya wazazi

Facebook Messenger Kids

Ulimwengu wa teknolojia na mawasiliano unaonekana kukuwa kila siku kiasi kwamba imekuwa na muhimu hata kwa watoto wetu. Facebook kwa kuliona hilo sasa imekuja na programu mpya ya Facebook Messnger kwaajili ya watoto.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Tofauti na programu ya kawaida ya Facebook Messenge, App hii mpya kwaajili ya watoto inampa mzazi nafasi ya kuweza kuchagua ni watu gani ambao angependekeza mwanae achati nao. Mtoto atakapo hitaji tumia app hiyo mzazi pekee ndio ataweza ku-install programu hiyo kwenye kifaa cha mtoto.

Mbali na hayo programu hiyo haina mambo ya manunuzi hivyo kuweza kumzuia mtoto kutokutumia pesa za wazazi kununua vitu mbalimbali, programu hiyo pia itawawezesha watoto kuweza kutumiana video na picha mbalimbali zenye sticker zenye maadili.

Kwa sasa App hiyo inapatikana kupitia vifaa vya Apple vya iPhone, iPad, na iPod Touch, lakini pia programu hii haipatikani kila nchi hivyo kama unaona bado programu hiyo haikubali kwenye kifaa chako usijali kwani inawezekana programu hiyo haija tolewa rasmi nchini kwako.

‎Messenger Kids

Kwa habari zaidi za teknolojia hakikisha una download App yetu mpya ya Tanzania Tech kupitia Play Store na vilevile tembelea channel yetu ya Tanzania Tech kupitia Youtube ili uweze kujifunza zaidi mambo yote ya teknolojia kwa njia ya Video.

Facebook Yaja na App ya Facebook Messenger Kwaajili ya Watoto
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Hizi Hapa Browser Bora Zenye Mfumo wa Akili Bandia (AI)

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.

One Comment