in

Samsung Galaxy S8 Kuzinduliwa Rasmi Kesho Tarehe 29 March

Kaa tayari kupokea simu mpya ya Samsung Galaxy S8 hapo kesho

Samsung Galaxy S8cv

Imebaki siku moja mpaka kutoka kwa simu mpya ya Samsung Galaxy S8, simu ambayo imesubiriwa kwa hamu pengine kuliko simu nyingine zilizotoka mwanzoni mwa mwaka huu 2017.

Katika uzinduzi huo Samsung inategemewa kuzindua simu yake hiyo uko New York nchini marekani, tamasha la uzinduzi litanza hapo kesho saa 6:00 pm kwa saa za Afrika mashariki na tutakuletea tamasha zima jinsi litakavyo kuwa moja kwa moja live.

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Kwa sasa kama unataka habari zaidi kuhusu simu hii unaweza ukasoma yote tuliyo yakusanya  kuhusu samsung galaxy s8 kabla ya tarehe ya kutoka hapo kesho.

Kwa habari zaidi za teknolojia endelea kutembelea Tanzania Tech pia unaweza kudownload App ya Tanzania Tech ili kupata habari zote za teknolojia kwa haraka, pia unaweza kujiunga na channel yetu ya Tanzania Tech ili kupata habari na maujanja ya teknolojia kwa njia ya video.

Samsung Galaxy S8 Kuzinduliwa Rasmi Kesho Tarehe 29 March
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Zifahamu Hizi Hapa Bei za Simu Mpya za Redmi Note 13

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.