Hii Ndio Simu Mpya ya LG G6 Inayo Tarajiwa Kutoka February 26

Simu mpya ya LG G6 inayotarajiwa kutoka tarehe 26 february mwaka huu
LG G6 LG G6

Hivi karibuni kampuni ya Korea ya LG imethibitisha kua iko tayari kutoa toleo lake jipya la simu mpya ya LG G6, Simu hiyo inayotarajiwa kutoka mwezi wa pil (February) ni moja kati ya simu zinazotarajiwa kuzinduliwa kwenye mkutano wa maonyesho wa CES wa Mwaka 2017.

Simu hiyo ya LG G6 inatarajiwa kuja na sifa za kioo kikubwa cha inch 5.7 pamoja na simu hiyo kusemekana kuwa na kioo kikubwa, simu hiyo pia inatarajiwa kuja na uwezekano wa kuwa na asilimia 90 ya kioo kitupu kama picha inavyoonyesha hapo chini.

Simu hiyo pia inasemekana kuja na maboresho mapya na bora zaidi kuliko yale ya kwenye toleo lililo pita, Kumbuka usikose kuangalia uzinduzi huo live kupitia hapa hapa Tanzania Tech.

Advertisement

Kwa Habari zaidi za Teknolojia unaweza kudownload App ya Tanzania Tech kupitia Play Store au unaweza kujiunga na Youtube Channel yetu ya Tanzania Tech ili kujifunza zaidi teknolojia kwa njia ya Video.

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use