Programu ya Facebook Messenger Yaja na Group Video Chat

Programu ya facebook messenger yaongezewa sehemu maalum ya Group video chat
Group Video chat Facebook Group Video chat Facebook

Mtandao maarufu wa kijamii wa facebook hivi karibuni umekuja na sehemu mpya kwenye programu yake ya Facebook Messenger, sehemu hiyo ya Group Video Chat inakupa uwezo wa kuchat na marafiki zako kwenye programu hiyo mpaka watu 50.

https://www.youtube.com/watch?v=Z4iV_qrbSC4

Sehemu hii itaanza kupatikana kupita programu zake za Android, iOS na pia kwenye programu yake maalum ya kwenye kompyuta. Facebook imekuwa ikiongeza sehemu mbalimbali kwenye programu yake baada ya hivi karibuni kuleta game kwenye programu hiyo.

Advertisement

Kwa habari zaidi za teknolojia unaweza kujiunga nasi kupitia page zetu za Facebook, Instagram, Twitter pamoja na Youtube, pia kama unataka kupata habari za teknolojia kwa haraka pindi zitakapo toka unaweza kudownload App ya Tanzania tech kupitia Play store.

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use