Hii Ndiyo Simu Mpya ya HTC 10

Hii Ndiyo Simu Mpya ya HTC 10 Hii Ndiyo Simu Mpya ya HTC 10

Kampuni ya htc imetangaza kuachia simu yake mpya ya htc 10 hapo leo saa 3:00pm kwa saa za afrika mashariki baadhi ya watu wamesha sema kuwa simu hiyo itakuja na possessor ya Snapdragon 820 ikiwa na RAM kubwa ya 4GB pia mitandao mbalimbali duniani imeonekana ikiandika habari mbalimbali zinazo husu jinsi simu hiyo itakavyokua pamoja na sifa zake.

Leo tanzania tech tumepata video ya tangazo la simu hiyo iliyopangwa kuachiwa siku ya uzinduzi wa simu hiyo tarehe 12 yaani siku ya leo ikiwa ni masaa machache yamebaki tutawaletea live matangazo ya moja kwa moja wakati simu hiyo ikizinduliwa kwa mara ya kwanza.

Advertisement

1 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Pata Habari za Teknolojia Kupita Barua Pepe

By pressing the Subscribe button, you confirm that you have read and are agreeing to our Privacy Policy and Terms of Use