in

Angalia Hapa Tamasha la Apple “Time Flies” Kwa DK 12

Apple haija zindua simu mpya za iPhone 12 na badala yake imezinuda iPad na iWatch

Angalia Hapa Tamasha la Apple "Time Flies" Kwa DK 12

Kampuni ya Apple leo imetengaza kufanya tamasha lake ambapo bidhaa mbalimbali za Apple zinatarajiwa kuzinduliwa, kwa mujibu wa ripoti mbalimbali inasemekana kuwa Apple haito zindua simu mpya za iPhone 12 na badala yake kampuni hiyo itazindua bidhaa nyingine kama iPad, iWatch na bidhaa nyingine ambazo ni kama huduma.

Update : 16-09-2020

Install Android App
Price: Free
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot
  • Nyimbo Mpya Screenshot

Baada ya kampuni ya Apple kufanya tamasha lake hapo jana tarehe 15 septemba kampuni hiyo haiku zindua simu mpya za iPhone na badala yake kampuni hiyo ilitangaza kuzindua iPad Air mpya pamoja na Apple Watch Series 6 na Watch SE. Unaweza kuangalia uzinduzi mzima jinsi ulivyo kuwa ndani ya dakika 12 kupitia hapo chini.

Kwa habari zaidi kuhusu sifa pamoja na bei ya iPad Air (2020) pamoja na Watch Series 6 na Watch SE hakikisha unaendelea kutembelea Tanzania Tech tutakujuza yote unayotakiwa kujua kuhusu bidhaa hizi mpya za Apple ikiwa pamoja na bei yake kwa hapa Tanzania.

Angalia Hapa Tamasha la Apple "Time Flies" Kwa DK 12
Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Elon Musk Azindua Mfumo wa Akili Bandia (AI) xAI Grok

Written by Amani Joseph

Tanzania Tech tumejikita kuhakikisha hupitwi na habari yoyote ya teknolojia, endelea kuwa nasi tufuate kwenye mitandao ya kijamii.

Toa Maoni Hapa

Kumbuka ni Muhimu Kuandika Jina Halisi na Barua Pepe, Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.